Spurs Kufanya Kufuru? Yatajwa Kuanza Mazungumzo ya Kumsajili Cody Gakpo kutoka Liverpool
Tottenham Hotspur imeanza mazungumzo na Liverpool kwa ajili ya kumsajili winga wa Uholanzi, Cody Gakpo, ambaye kwa sasa anang'ara kwenye Kombe la Dunia la 2026.
Tottenham Hotspur imeanza mazungumzo na Liverpool kwa ajili ya kumsajili winga wa Uholanzi, Cody Gakpo, ambaye kwa sasa anang'ara kwenye Kombe la Dunia la 2026.
Arsenal wameripotiwa kupiga hatua kubwa katika mpango wa kumsajili nyota wa Aston Villa na timu ya taifa ya Uingereza, Morgan Rogers msimu huu.
Chelsea wanakaribia kukubaliana ada ya pauni milioni 75 kwa Adam Wharton wa Crystal Palace, huku pia wakimfuatilia Andrea Cambiaso wa Juventus.
Aliyekuwa kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp, amemtetea beki Virgil van Dijk na kumshushia vyuma mchambuzi Rafael van der Vaart kutokana na ukosoaji wake.
Arsenal imefanikiwa kushinda vita dhidi ya Manchester United, Chelsea, na Manchester City baada ya kufikia makubaliano ya kumsajili winga wa Leicester City, Jeremy Monga.
Kocha wa Manchester United, Michael Carrick, ameweka ngumu kuhusu mpango wa kuondoka kwa mshambuliaji Benjamin Sesko, ambaye ananyatiwa na Barcelona na Atletico Madrid.
Mshambuliaji wa England, Ollie Watkins amemtetea Jeremy Doku wa Ubelgiji baada ya mtangazaji wa runinga nchini Ufaransa kukosoa uamuzi wake wa kutaka kuondoka Kombe la Dunia ili kushuhudia uzazi wa mwanawe wa kwanza.
Beki wa kati wa Ujerumani, Nico Schlotterbeck, amepata majeraha makubwa ya kifundo cha mguu na atalazimika kukosa mechi zote zilizosalia za Kombe la Dunia nchini Marekani.
Kylian Mbappe ameiongoza Ufaransa kuichapa Senegal 3-1 kwenye Kombe la Dunia 2026, huku akivunja rekodi ya ufungaji wa muda wote wa Ufaransa na kuisaka rekodi ya Miroslav Klose.