Spurs Kufanya Kufuru? Yatajwa Kuanza Mazungumzo ya Kumsajili Cody Gakpo kutoka Liverpool
Tottenham Hotspur imeanza mazungumzo na Liverpool kwa ajili ya kumsajili winga wa Uholanzi, Cody Gakpo, ambaye kwa sasa anang'ara kwenye Kombe la Dunia la 2026.
Tottenham Hotspur imeanza mazungumzo na Liverpool kwa ajili ya kumsajili winga wa Uholanzi, Cody Gakpo, ambaye kwa sasa anang'ara kwenye Kombe la Dunia la 2026.
Arsenal wameripotiwa kupiga hatua kubwa katika mpango wa kumsajili nyota wa Aston Villa na timu ya taifa ya Uingereza, Morgan Rogers msimu huu.
Chelsea wanakaribia kukubaliana ada ya pauni milioni 75 kwa Adam Wharton wa Crystal Palace, huku pia wakimfuatilia Andrea Cambiaso wa Juventus.
Aliyekuwa kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp, amemtetea beki Virgil van Dijk na kumshushia vyuma mchambuzi Rafael van der Vaart kutokana na ukosoaji wake.
Arsenal imefanikiwa kushinda vita dhidi ya Manchester United, Chelsea, na Manchester City baada ya kufikia makubaliano ya kumsajili winga wa Leicester City, Jeremy Monga.
Kocha wa Manchester United, Michael Carrick, ameweka ngumu kuhusu mpango wa kuondoka kwa mshambuliaji Benjamin Sesko, ambaye ananyatiwa na Barcelona na Atletico Madrid.
Mshambuliaji wa England, Ollie Watkins amemtetea Jeremy Doku wa Ubelgiji baada ya mtangazaji wa runinga nchini Ufaransa kukosoa uamuzi wake wa kutaka kuondoka Kombe la Dunia ili kushuhudia uzazi wa mwanawe wa kwanza.
Beki wa kati wa Ujerumani, Nico Schlotterbeck, amepata majeraha makubwa ya kifundo cha mguu na atalazimika kukosa mechi zote zilizosalia za Kombe la Dunia nchini Marekani.
Kylian Mbappe ameiongoza Ufaransa kuichapa Senegal 3-1 kwenye Kombe la Dunia 2026, huku akivunja rekodi ya ufungaji wa muda wote wa Ufaransa na kuisaka rekodi ya Miroslav Klose.
Manchester United inachunguza uwezekano wa kumrudisha Alvaro Carreras huku kocha wa Real Madrid, Jose Mourinho, akiripotiwa kuamuru beki huyo wa kushoto auzwe haraka.
England imepata pigo kubwa baada ya beki wa Newcastle, Tino Livramento kuumia na kuondolewa kwenye kikosi cha Kombe la Dunia. Thomas Tuchel amemwita Trevoh Chalobah kuziba nafasi yake.
Mkongwe wa Arsenal Emmanuel Petit amemkosoa vikali winga Bukayo Saka, akidai kuwa kiwango chake kimeshuka na hastahili kuanza kwenye kikosi cha Uingereza kwenye Kombe la Dunia.
Kocha mpya wa Liverpool, Andoni Iraola, ameingilia kati kuharakisha usajili wa Yan Diomande mwenye thamani ya pauni milioni 112, huku kukiwa na ripoti za kiungo mpya kusajiliwa Anfield.
Golikipa wa Manchester City na timu ya taifa ya England, James Trafford, amekiri kuwa anahitaji kuwa kipa namba moja ngazi ya klabu ili kufikia ndoto zake, huku Newcastle ikihusishwa naye.
Manchester United wameripotiwa kutuma ofa kubwa kumsajili winga wa West Ham, Crysencio Summerville, huku David Ornstein akitaja masharti mawili ili dili hilo likamilike.
Kocha mpya wa Real Madrid, Jose Mourinho, ameripotiwa kuitaka klabu hiyo kumuuza kiungo Federico Valverde kutokana na matatizo ya kinidhamu msimu uliopita.
Tottenham Hotspur wameingilia kati vita ya kumsajili winga wa West Ham, Crysencio Summerville, anayewindwa vikali na Manchester United.
Manchester City imefanikiwa kumpiga pingu beki wao kisiki Josko Gvardiol kwa mkataba mpya wa muda mrefu hadi mwaka 2031, huku tetesi za Enzo Fernandez zikitolewa ufafanuzi mzito.
Aliyekuwa kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp, amelazimika kuomba radhi kwa kocha wa Ujerumani, Julian Nagelsmann, baada ya kutoa kauli iliyotafsiriwa kama kijembe kuhusu kibarua chake.
Cape Verde wameandika historia kwenye Kombe la Dunia baada ya kulazimisha sare ya 0-0 dhidi ya mabingwa wa Euro 2024, Uhispania, katika mchezo wa Kundi H.
Tottenham Hotspur chini ya Roberto De Zerbi imeingia rasmi kwenye mbio za kuwania saini ya kiungo wa Newcastle, Sandro Tonali, huku Manchester United ikijitoa.
Shirikisho la soka duniani (FIFA) limetakiwa kumwondoa mwamuzi wa VAR, Shaun Evans, baada ya kudaiwa kuonesha ishara ya kibaguzi ya 'White Power' wakati wa matangazo ya Kombe la Dunia.
Mwandishi nguli wa usajili Fabrizio Romano ametoa ufafanuzi wa kina kuhusu hatma ya Darwin Nunez kufuatia madai ya kushtukiza kuwa kila kitu kimeshakamilika ili arejee Liverpool.
Crystal Palace imemtangaza rasmi kocha Mfaransa Pierre Sage kuwa meneja wao mpya kwa mkataba wa miaka mitatu, akichukua nafasi ya Oliver Glasner.
Romelu Lukaku ameingia akitokea benchi na kuisaidia Ubelgiji kuokoa alama moja katika sare ya kusisimua ya 1-1 dhidi ya Misri kwenye mchezo wao wa kwanza wa Kombe la Dunia.
Liverpool inaripotiwa kuanza mazungumzo ya kumsajili kinda mwenye kipaji kikubwa wa Arsenal, Ethan Nwaneri, huku The Gunners wakiwa tayari kumuuza kwa dau nono.
Nyota wa Motherwell, Elijah Just, amefunga mabao mawili New Zealand ikitoka sare ya 2-2 na Iran kwenye mechi ya Kombe la Dunia iliyotawaliwa na maandamano ya kisiasa.
Kinda wa RB Leipzig, Yan Diomande, anaripotiwa kuipa kipaumbele Liverpool, huku kukiwa na uwezekano wa kushusha Bradley Barcola wa PSG kama mbadala wake.
Beki wa Manchester United Harry Maguire amefichua sababu za kocha wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel, kumtema kwenye kikosi cha Kombe la Dunia kupitia FaceTime.
Manchester United wamechukua uamuzi wa kijasiri katika mbio za kumsajili kiungo wa West Ham, Matheus Fernandes, huku Real Madrid nao wakijaribu kupindua dili hilo.
Kiungo wa Manchester United, Manuel Ugarte, ameripotiwa kupewa ofa ya kujiunga na AC Milan kufuatia taarifa za Ruben Amorim kujiandaa kuwa kocha mpya wa miamba hiyo.
Mwandishi nguli James Pearce amefichua kuwa hakuna uwezekano wa Mohamed Salah kusalia Liverpool licha ya kuondoka kwa Arne Slot na ujio wa Andoni Iraola, huku klabu hiyo ikipanga kusajili washambuliaji wawili wapya.
Marcus Rashford amegoma kukata tamaa ya kurudi Barcelona licha ya miamba hiyo ya Katalunya kushindwa kulipa pauni milioni 26 kumbeba jumla kutoka Manchester United.
Mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza, Arsenal, wanaripotiwa kufikia makubaliano binafsi na kiungo wa AS Roma na timu ya taifa ya Ufaransa, Manu Kone.
Aston Villa wameanza mipango ya kusajili wachezaji wapya baada ya golikipa wao Emiliano Martinez kukubaliana na Juventus. Zion Suzuki na Alex Remiro wanatajwa kuwa warithi wake.
Manchester United imefikia maamuzi ya mwisho kuhusu hatma ya Marcus Rashford baada ya Barcelona kugoma kulipa dau la €30m. Klabu hiyo sasa ipo tayari kusikiliza ofa mpya.
Kiungo mkongwe wa England, Jordan Henderson, amemtetea vikali nyota wa Real Madrid, Jude Bellingham, akisisitiza kuwa ukosoaji anaopata hauna msingi.
Liverpool wameamua kuachana na mpango wa kumsajili kiungo wa West Ham, Mateus Fernandes, huku Manchester United wakiongoza mbio hizo baada ya kuwa tayari kutoa kitita kikubwa zaidi.
Nguli wa soka wa Uholanzi, Rafael van der Vaart, amemkosoa vikali nahodha Virgil van Dijk kwa kugeuka polepole kama ndege ya Boeing 747 kwenye Kombe la Dunia.
Darlington Osuchukwu, mlinda mlango kinda na tegemeo la baadaye la Manchester United, anajiandaa kuondoka klabuni hapo huku Barcelona na klabu nyingine zikionyesha nia ya kumsajili.
Nyota wa Liverpool Cody Gakpo ameripotiwa kuomba kuondoka klabuni hapo baada ya mabadiliko ya benchi la ufundi, huku Tottenham Hotspur wakiongoza mbio za kumsajili kwa ofa ya pauni milioni 60.
Chelsea wameweka dau jipya la pauni milioni 120 kwa ajili ya kumuuza kiungo wao Enzo Fernandez, huku Manchester City na Real Madrid zikionyesha nia ya kumsajili.
Liverpool wapo tayari kumpa mkataba mpya wa muda mrefu kinda wao Rio Ngumoha baada ya ripoti kufichua kuwa Bayern Munich walijaribu kumshawishi aondoke Anfield.
Tottenham Hotspur wanaripotiwa kuwa mbele ya Liverpool katika harakati za kumsajili beki wa Club Brugge, Joel Ordonez, kama mbadala wa Jan Paul van Hecke.
Serikali ya Ghana imelalamikia vikali uamuzi wa Canada kumnyima visa kiungo Thomas Partey kwa ajili ya mechi ya Kombe la Dunia dhidi ya Panama, ikitaja uamuzi huo kuwa si wa haki.
Mchambuzi Micah Richards amekosoa uamuzi wa kocha wa England Thomas Tuchel kumjumuisha Jordan Henderson kwenye kikosi cha Kombe la Dunia badala ya Foden au Palmer.
Manchester United inaripotiwa kumfanyia tathmini kiungo wa Bournemouth, Tyler Adams, huku takwimu zake zikitajwa kulingana au kuzidi zile za Rodri wa Man City.
Arsenal na mkurugenzi wa michezo Andrea Berta wapo kwenye mazungumzo ya karibu kumsajili winga wa PSG, Bradley Barcola, anayetaka kuondoka Paris.
Qatar imepata pointi ya kwanza ya kihistoria kwenye fainali za Kombe la Dunia baada ya kusawazisha sekunde za mwisho dhidi ya Uswisi katika sare ya 1-1.
Mtaalamu wa usajili Fabrizio Romano amefichua msimamo wa Bayern Munich kuhusu nia yao ya kumsajili winga wa Manchester United, Marcus Rashford msimu huu.
Brazil na Morocco zimetoka sare ya 1-1 kwenye mchezo mkali wa Kombe la Dunia huko New York, huku goli la kusawazisha la Vinicius Junior likiokoa jahazi la Selecao.
Scotland imepata ushindi wa kwanza kwenye Kombe la Dunia baada ya miaka 36 kufuatia ushindi wa tabu wa 1-0 dhidi ya Haiti, shukrani kwa bao la nahodha wa Aston Villa, John McGinn.
Liverpool imeripotiwa kutokuwa na mpango wa kubadili maamuzi ya kumbakiza Mohamed Salah Anfield, licha ya madai ya mchezaji mwenzake wa Misri kuwa anaweza kubaki.
Liverpool wapo tayari kumuuza kiungo wao nyota Alexis Mac Allister msimu huu wa joto ili kupata fedha za kuimarisha kikosi chini ya kocha mpya Andoni Iraola.
Manchester United ipo mstari wa mbele kumsajili kiungo wa West Ham, Mateus Fernandes, baada ya Real Madrid na Jose Mourinho kukwama kutokana na dau kubwa la euro milioni 93 linalohitajika.
Manchester United inakaribia kukamilisha usajili wake wa kwanza wa majira ya joto huku ripoti zikitaja kuwa kiungo wa Atalanta, Ederson, anafanyiwa vipimo vya afya leo mjini New York, huku wakimvizia pia Lewis Hall wa Newcastle.
Mtaalamu wa usajili Fabrizio Romano amethibitisha kuwa Arsenal na Liverpool zimeingia vitani kuwania saini ya kiungo kinda wa Lille, Ayyoub Bouaddi, anayewaniwa pia na PSG.
Tottenham wanajiandaa kuwasilisha ofa ya tatu iliyoboreshwa kwa ajili ya beki wa Brighton, Jan Paul van Hecke, huku akihimizwa kuhama ili kukuza kiwango chake.
Australia imeanza kampeni za Kombe la Dunia kwa ushindi mnono wa 2-0 dhidi ya Uturuki katika Kundi D, shukrani kwa mabao ya Irankunda na Metcalfe.
Manchester United wamejiondoa kwenye mbio za kuwania saini ya kiungo wa Newcastle United, Sandro Tonali, baada ya kubaini kuwa dili hilo litakuwa ghali mno kwao.
Brentford wanapanga kuipiku Arsenal kwenye mbio za kumsajili winga kinda wa Leicester City, Jeremy Monga, wakijivunia nafasi ya kutosha ya kucheza.
Andoni Iraola anatajwa kuwa chachu ya Liverpool kumsajili mshambuliaji wa Bournemouth, Rayan, huku Cody Gakpo akitaka kuondoka klabuni hapo.
Magwiji wa zamani wa Chelsea, Joe Cole na Ashley Cole, wamemshauri kocha mpya Xabi Alonso kuwauza wachezaji wengine badala ya kuwaruhusu mastaa Enzo Fernandez na Marc Cucurella kuondoka.
Kiungo wa Scotland, John McGinn, amemjibu kwa kejeli Fabrizio Romano baada ya mwandishi huyo kukosea jina lake kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Haiti kwenye Kombe la Dunia.
Marcus Rashford anatarajiwa kurejea Manchester United msimu ujao baada ya kocha Michael Carrick kumpa matumaini, huku Barcelona ikigoma kumsajili jumla.
Kocha mpya wa Liverpool, Andoni Iraola, amefanya maamuzi magumu kuhusu mustakabali wa Curtis Jones huku kukiwa na nia thabiti kutoka Inter Milan na mpango wa kusajili mbadala wake.
Klabu za Arsenal na Liverpool ziko macho baada ya winga machachari wa PSG, Bradley Barcola, kuomba kuondoka kufuatia kukosa nafasi kwenye kikosi cha kwanza.
Arsenal wanajiandaa kufanya usajili wa kishindo msimu huu huku wakihusishwa na dili la pauni milioni 34.5 la kumsajili Christos Tzolis pamoja na Morgan Rogers.
Thomas Tuchel anaripotiwa kupanga mabadiliko ya kushtua kwenye safu ya ulinzi ya Uingereza dhidi ya Croatia, huku Jude Bellingham akitarajiwa kuanza badala ya Morgan Rogers.
Mshambuliaji wa Ufaransa Ousmane Dembele amemtetea nahodha Kylian Mbappe dhidi ya ukosoaji mkubwa na kusema umepitiliza kuelekea Kombe la Dunia.
England imekumbana na pigo kubwa kabla ya mechi yao ya kwanza ya Kombe la Dunia baada ya vifaa vyao muhimu vya mazoezi ikiwemo mipira na viatu vya wachezaji kuibiwa nchini Marekani.
Arsenal wanajiandaa kufanya kufuru nyingine ya usajili msimu huu, wakitajwa kuwa tayari kutoa kiasi cha pauni milioni 86 kumnasa nyota wa Juventus, Kenan Yildiz.
Manchester United wanapanga kusajili wachezaji katika maeneo matano mapya baada ya kufanikiwa kupata pauni milioni 100 za nyongeza kupitia mabadiliko ya madeni ya Glazer.
Manchester United inajipanga kumsajili beki wa kushoto wa Newcastle United, Lewis Hall, kama mbadala wa muda mrefu wa Luke Shaw huku wakitafuta straika mzoefu.
Arsenal wameongeza kasi katika mbio za kumsajili kiungo chipukizi wa Lille, Ayyoub Bouaddi, wakitumia faida mbili kubwa kuipiku PSG kwenye dili hilo la pauni milioni 60.
Mshambuliaji Cyle Larin ametokea benchi na kuisaidia Canada kupata pointi yao ya kwanza ya kihistoria katika Kombe la Dunia baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Bosnia na Herzegovina.
Liverpool wameweka msimamo mkali na kukataa ofa ya Bayern Munich inayomtaka winga wao chipukizi, Rio Ngumoha, wakisisitiza kuwa mchezaji huyo hauzwi.
Liverpool wameripotiwa kuipiku Manchester United katika mbio za kuwania saini ya winga wa Hoffenheim Bazoumana Toure, wakipanga kuweka rekodi mpya ya usajili.
Kiungo wa Arsenal na timu ya taifa ya England, Declan Rice, anaripotiwa kuwa na wasiwasi na uwezo wa nyota wa Manchester United, Kobbie Mainoo, hasa anapokuwa hana mpira.
Manchester United inajipanga kuwasilisha ofa ya pauni milioni 70 kumnasa kiungo wa West Ham, Mateus Fernandes, ambaye sasa amekuwa kipaumbele chao kikuu baada ya kuachana na mpango wa Elliot Anderson.
Manchester United wamemgeukia kiungo wa Newcastle United, Sandro Tonali, kama shabaha yao kuu inayofuata baada ya kuamua kujiondoa kwenye mbio za kumsajili Elliot Anderson.
Korea Kusini yafanikiwa kupindua matokeo na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Jamhuri ya Cheki katika mchezo wa Kundi A wa Kombe la Dunia kule Guadalajara.
Mexico imeanza vyema fainali za Kombe la Dunia 2026 kwa kuichapa Afrika Kusini (Bafana Bafana) mabao 2-0 katika mchezo wa ufunguzi ulioshuhudia kadi tatu nyekundu pale Azteca.
Gwiji wa soka wa Ufaransa, Thierry Henry, ameitaja timu yake ya taifa kuwa ya kwanza kupewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa dunia, huku akizitaja Senegal na Norway kama timu zinazoweza kushangaza wengi.
Baada ya Juventus kuweka msimamo mkali, Arsenal imelazimika kufanya maamuzi mapya kuhusu usajili wa winga wa Kituruki Kenan Yildiz. Soma hapa kujua hatma yao.
Manchester United wamewasiliana na Arsenal na vilabu vingine vikubwa Ulaya kutoa ofa ya kumuuza Marcus Rashford baada ya Barcelona kugoma kumnunua moja kwa moja msimu huu wa joto.
Mshambuliaji Jadon Sancho anahusishwa na kujiunga na klabu za daraja la kati kwenye Ligi Kuu ya Uingereza ikiwemo Crystal Palace baada ya kuachwa huru na Manchester United.
Gary Lineker ametoa mtazamo wake kuhusu nani anayepaswa kuanza winga ya kushoto ya Uingereza kati ya Marcus Rashford na Anthony Gordon kwenye fainali za Kombe la Dunia chini ya Thomas Tuchel.
Manchester United imemweka kiungo wa Lazio na Nigeria, Fisayo Dele-Bashiru, kwenye orodha yao ya usajili wa majira ya joto huku wakipanga kufanya maboresho makubwa.
Barcelona wameweka sharti jipya kwa Manchester United na Marcus Rashford ikiwa wanataka mshambuliaji huyo aendelee kusalia Hispania msimu ujao.
Nahodha wa zamani wa Marekani Landon Donovan amesema timu ya taifa ya Marekani inatakiwa kutoa matokeo makubwa Kombe la Dunia la 2026, akisisitiza kwamba kutokana na kuwa wenyeji na kuwa na kundi linaloonekana rahisi, matarajio ni kushinda kundi lao.
Ripoti mpya ya BBC imefafanua kwa nini Manchester United huenda wasipate saini za Elliot Anderson, Lewis Hall na Robert Lewandowski katika dirisha hili la majira ya kiangazi.
Arsenal wanaripotiwa kuwasiliana na Juventus kuhusu winga Kenan Yildiz wakati wakijiandaa kuimarisha kikosi chao msimu huu wa joto, huku wakihitaji wachezaji wanne wapya kwa mujibu wa taarifa za Fabrizio Romano.
Liverpool imeachwa mikono mitupu katika vita ya kumsajili kinda wa Ujerumani Kennet Eichhorn, baada ya vyanzo vitatu vya juu kuthibitisha kuwa ataelekea Bayer Leverkusen badala ya Anfield.
Ripoti mpya zinasema Arsenal ndio ‘njia pekee ya kutoroka’ kwa Julian Alvarez kutoka Atletico Madrid, huku Fabrizio Romano akifichua kuwa Real Madrid haijarejea tena na ofa mpya baada ya ya pauni milioni 129 kukataliwa.
Arsenal imechukua msimamo mkali katika dirisha hili la usajili kwa kuweka Gabriel Martinelli sokoni, huku wachezaji wengine watatu pia wakitajwa kuondoka wakati Mikel Arteta akijenga kikosi kipya.
Kocha mpya wa Liverpool, Andoni Iraola, anaripotiwa kutamani kumuunganisha tena kiungo Alex Scott wa Bournemouth Anfield, lakini klabu hiyo inataka ada kubwa inayoweza kufikia pauni milioni 100.
Kocha mpya wa Liverpool, Andoni Iraola, ameanza rasmi majukumu yake huku taarifa zikieleza kuwa golikipa Alisson bado anaweza kuruhusiwa kuondoka majira ya kiangazi. Mabadiliko makubwa yanatarajiwa Anfield na baadhi ya nyota tayari wanaelekea kuondoka.
Beki wa Brighton, Jan Paul van Hecke, ameripotiwa kuipa Tottenham kipaumbele licha ya Liverpool, Chelsea na Newcastle kuonyesha nia ya kumsajili katika dirisha lijalo.
Liverpool imeripotiwa kupata pigo katika harakati za kumsajili chipukizi Kennet Eichhorn baada ya nyota huyo wa Hertha Berlin kuamua kubaki Ujerumani, licha ya ofa ya kuvutia kutoka Anfield.
Mason Greenwood ameripotiwa kuipa Roma nodi ya kuendelea na uhamisho huku Manchester United wakitarajiwa kunufaika kupitia kipengele cha asilimia ya mauzo ya baadaye kilicho kwenye mkataba wake na Marseille.
Chelsea imehusishwa na uwezekano wa kumsajili Marcus Rashford kutoka Manchester United, huku klabu-legend Joe Cole akisema dili hilo linaweza kutegemea mishahara na thamani ya mchezaji huyo. Wakati huo huo, ameitaja pia ndoto yake ya kuiona Chelsea ikisajili nyota watatu wa Real Madrid.
Liverpool wanaongoza mbio za kuwania saini ya winga machachari wa RB Leipzig, Yan Diomande, huku mtaalamu wa usajili Fabrizio Romano akifichua sababu inayowapa faida dhidi ya PSG.
Ndoto za Manchester United kumsajili kiungo wa West Ham, Mateus Fernandes, zimeingia mchanga baada ya wakala wake Jorge Mendes kuanza mpango wa kumpeleka Real Madrid chini ya Jose Mourinho.
Tottenham Hotspur inakaribia kukamilisha usajili wa pacha wa Manchester City, James Trafford na Savinho, kwa dili la jumla la pauni milioni 100 msimu huu.
Ripoti mpya kutoka Uingereza zinafichua msimamo wa siri wa viongozi wa Liverpool kuhusu beki Jeremie Frimpong na mipango yao ya kumsajili beki mpya wa kulia.
Arsenal wanaongeza kasi kukamilisha usajili wa makinda wawili Jeremy Monga kutoka Leicester na Emmanuel Mbemba wa PSG, huku Paul Merson akitoa mtazamo wa kushtua kuhusu Martin Odegaard.
Huku kukiwa na wiki moja kabla ya England kuanza Kombe la Dunia dhidi ya Croatia, Theo Walcott anaamini Marcus Rashford ana uhakika wa kuanza, lakini ukweli ni tofauti.
Real Madrid wamethibitisha rasmi kuwa ofa yao kubwa ya euro milioni 150 kumsajili mshambuliaji wa Atletico Madrid, Julian Alvarez, imekataliwa. Rais Florentino Perez anapanga kufanya kufuru nyingine.
Manchester United na Manchester City zipo kwenye vita kali ya kumsajili kiungo wa Nottingham Forest, Elliot Anderson, huku mmiliki Evangelos Marinakis akitajwa kuwa kikwazo kikubwa.
Kelele za usajili zinazidi kuongezeka huku kiungo wa Bournemouth, Alex Scott, akihusishwa vikali kuwa huenda akawa saini ya kwanza ya kocha mpya wa Liverpool, Andoni Iraola.
Manchester United inajiandaa kutumia mwanya wa kupungua kwa bei ya kiungo wa West Ham, Mateus Fernandes, ambaye pia anasakwa na Real Madrid.
Klabu ya Newcastle United inaripotiwa kujiandaa kumruhusu Sandro Tonali kuondoka kuelekea Manchester United msimu huu wa joto, huku usajili wa kipa Ewen Jaouen kwa pauni milioni 24 ukionyesha mabadiliko makubwa ya mfumo wa klabu.
Bayern Munich wamekubali kulipa pauni milioni 26 zinazohitajika na Man Utd kwa ajili ya Marcus Rashford, lakini winga huyo anataka kusalia Barcelona.
Aston Villa chini ya Unai Emery imeanza mikakati ya kujiimarisha kwa kutuma ofa kubwa kumsajili Martin Baturina wa Como, huku nyota wa PSG akitajwa kuwa karibu kujiunga nao.
Beki wa zamani wa Manchester United, Gary Neville, ameitaka klabu hiyo kufanya kila njia kumsajili mshambuliaji wa Chelsea, Cole Palmer, akimtaja kama usajili wa "dhahabu".
Liverpool wanaripotiwa kukaribia kukamilisha usajili wa winga wa RB Leipzig, Yan Diomande, huku mchezaji huyo wa kimataifa wa Ivory Coast akipendelea kujiunga na miamba hiyo ya EPL badala ya PSG.
Manchester City inajiandaa kutuma ofa mpya rasmi kwa ajili ya kiungo wa Nottingham Forest, Elliot Anderson, huku Manchester United ikisubiri nafasi ya kupindua dili hilo.
Kocha mpya wa Chelsea, Xabi Alonso, amehimizwa kumsajili kiungo wa Crystal Palace, Adam Wharton, ambaye pia anawindwa vikali na Manchester United.
Juventus inaripotiwa kumjumuisha mlinda mlango wa Everton na timu ya taifa ya Uingereza, Jordan Pickford, kwenye orodha yao ya wachezaji wanaowawinda kwa ajili ya kuimarisha safu yao ya ulinzi msimu huu.
Kiungo wa Liverpool, Curtis Jones, anaripotiwa kukubali kujiunga na miamba ya soka ya Italia, Inter Milan, huku akizitolea nje klabu kadhaa za Ligi Kuu ya Uingereza.
Bayern Munich inaripotiwa kuwa tayari kufikia dau la Manchester United kwa ajili ya Marcus Rashford, huku mshahara wake mkubwa ukionekana kuwa kikwazo cha uhamisho huo.
Mshambuliaji wa Liverpool, Federico Chiesa ameweka wazi kuwa yuko tayari kuondoka Anfield ikiwa hatapata nafasi ya kucheza mara kwa mara, huku dili la Curtis Jones kwenda Inter Milan likiiva.
Manchester United inatarajiia kupata neema kubwa ya kifedha kufuatia ofa ya pauni milioni 104 kwa ajili ya Mason Greenwood kutoka klabu ya Al-Hilal.
Arsenal imeanza mikakati ya kujiimarisha kwa msimu ujao kwa kuweka ofa mezani kumnasa beki chipukizi wa PSG, Emmanuel Mbemba, huku Morgan Gibbs-White akihusishwa pia.
Tottenham Hotspur wanaripotiwa kujiandaa kuvunja rekodi yao ya usajili kwa kuwasilisha ofa ya kushtua ya pauni milioni 73.5 kwa ajili ya nyota wa Liverpool, Cody Gakpo, ambaye anataka kuondoka Anfield.
Manchester United inaripotiwa kuwasilisha ofa ya mkataba mnono kwa beki wa Tottenham, Cristian Romero, huku ikimhakikishia kuwa kiongozi mpya wa safu yao ya ulinzi msimu ujao.
Kocha mkuu wa England, Thomas Tuchel, amefunguka kuhusu maamuzi ya namba za jezi za wachezaji kuelekea Kombe la Dunia, huku Joe Cole akitoa ushauri kuhusu Jude Bellingham na Morgan Rogers.
Klabu ya Bournemouth ipo tayari kuweka kando msimamo wake na kumuuza mshambuliaji wao machachari Eli Junior Kroupi kwenda Liverpool au klabu nyingine iwapo watapokea ofa kubwa msimu huu wa kiangazi.
Mtaalamu wa usajili Fabrizio Romano amethibitisha kuwa Manchester United imekamilisha dili la kumsajili kiungo wa Atalanta, Ederson. Fahamu sababu ya kuchelewa kwake.
Tottenham Hotspur inalenga kupunguza dau la Joao Palhinha kutoka Bayern Munich wakati wakijiandaa kukamilisha usajili mwingine mkubwa wa wachezaji wanne.
Fahamu orodha rasmi ya vikosi vya timu zote 48 zitakazoshiriki Kombe la Dunia 2026, sheria mpya za FIFA za kubadilisha wachezaji, na mastaa wa Afrika kama Fiston Mayele na Mohamed Salah walioitwa.
Kocha wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel, amezungumzia wasiwasi wa hali ya hewa na ubora wa uwanja wakati wa maandalizi ya Kombe la Dunia nchini Marekani.
Rais wa Real Madrid, Florentino Perez, anaripotiwa kuandaa ofa ya kihistoria ya Euro milioni 150 ili kumsajili winga wa PSG na Georgia, Khvicha Kvaratskhelia, katika usajili wa kiangazi.
Fahamu siri iliyopo nyuma ya pazia kuhusu uamuzi wa Chelsea kumkataa Andoni Iraola, na jinsi Liverpool walivyomfukuza Arne Slot na kumteua kocha huyo wa zamani wa Bournemouth.
Manchester United wanaripotiwa kuwa mstari wa mbele kumnasa kiungo wa Newcastle United, Sandro Tonali, wakijiandaa kutoa ofa ya pauni milioni 80 msimu huu wa joto.
Kocha mpya wa Liverpool, Andoni Iraola, ameweka wazi mipango yake ya kumsaidia beki wa kushoto Milos Kerkez kurejea kwenye kiwango chake bora msimu ujao.
Mwenyekiti mwenza wa West Ham United, David Sullivan, amejiuzulu ghafla nafasi yake baada ya kuibuka kwa tuhuma nzito za maisha yake binafsi za miongo kadhaa iliyopita ambazo amezitaja kuwa za uongo na za kashfa.
Manchester United inaweza kumsajili kiungo Elliot Anderson kutoka Nottingham Forest msimu huu ikiwa masharti mawili yatatimizwa, huku Manchester City ikiongoza mbio hizo.
West Ham United wametoa msimamo wao kufuatia tetesi kuwa Manchester United wanataka kumsajili kiungo wao nyota Mateus Fernandes katika dirisha hili la usajili.
Arsenal inapanga kuimarisha safu yake ya ushambuliaji msimu huu wa joto huku ripoti zikidia kuwa dili la kumsajili kinda Jeremy Monga lipo karibu kukamilika.
Nyota wa Liverpool Federico Chiesa ameweka wazi sharti pekee litakalomfanya aondoke klabuni hapo, huku akimshauri mchezaji mwenzake Curtis Jones kuhusu kujiunga na miamba ya Italia, Inter Milan.
Nahodha wa zamani wa England, Alan Shearer, ametoa utabiri wake kuelekea Kombe la Dunia, akitaja mambo mawili muhimu yatakayoamua kama England itafanikiwa kubeba ndoo au la.
Mshambuliaji Mason Greenwood anaripotiwa kukubaliana na Fenerbahce ya Uturuki, huku Manchester United ikijiandaa kuvuna mamilioni ya fedha kutokana na kipengele cha mauzo ya baadaye.
Sheikh Jassim bin Hamad al-Thani amefanya maamuzi magumu kuhusu kuwasilisha ofa mpya ya kuinunua Manchester United baada ya ripoti za Glazer kutaka kuuza klabu hiyo kikamilifu.
Beki wa PSG na Brazil, Marquinhos, amemshushia sifa kedekede Gabriel Magalhaes wa Arsenal baada ya fainali ya Ligi ya Mabingwa, akimtaja kama beki bora zaidi kwa sasa.
Maajenti wa kiungo wa West Ham, Mateus Fernandes, wana uhakika kuwa mchezaji huyo atatua Old Trafford msimu huu wa joto huku Man United ikipanga ofa nono ya pauni milioni 75.
Aliyekuwa bosi wa Tottenham Hotspur, Daniel Levy, anaripotiwa kukubali kuuza asilimia 24.99 ya hisa zake za ENIC kwa kampuni ya Eight Sports Capital, huku ENIC wakikanusha taarifa hizo.
Bayern Munich imefanya jaribio la kushtukiza kumsajili kinda wa Liverpool, Rio Ngumoha, huku kukiwa na ripoti za kufikiwa kwa makubaliano kabla ya dili hilo kukumbana na kigingi.
Kocha mpya wa Liverpool, Andoni Iraola, ameanza harakati za kusuka kikosi chake kwa kulenga maeneo matatu muhimu huku mshambuliaji wa Bournemouth, Rayan, akiwa kwenye rada zake.
Arsenal inatajwa kuwa chaguo pekee la kweli kwa mshambuliaji wa Atletico Madrid, Julian Alvarez, msimu huu lakini nyota huyo wa Argentina hana mpango wa kutua London.
Zikiwa zimesalia siku 10 tu kabla ya mchezo wao wa kwanza mjini Los Angeles, wachezaji wa timu ya taifa ya Iran wamepewa visa za kuingia Marekani.
Mtaalamu wa usajili Fabrizio Romano afichua kuwa Real Madrid inatamani saini za Joao Neves na Vitinha wa PSG, huku Rais Florentino Perez akipanga ofa ya kihistoria kumnasa Michael Olise.
Bayern Munich inakabiliwa na mtihani mdogo kwenye mazungumzo ya mkataba mpya na Harry Kane, huku ikihusishwa na mipango ya kuwasajili Marcus Rashford wa Manchester United au Gabriel Martinelli wa Arsenal.
Jose Mourinho anaripotiwa kuingilia usajili wa Manchester United chini ya Michael Carrick kwa kupanga dili la kumnyaka kiungo wa West Ham, Mateus Fernandes kwenda Real Madrid.
Ripoti mpya kutoka Ujerumani zafichua jinsi tabia ya dharau ya Arne Slot kwa wachezaji wapya kama Florian Wirtz ilivyochangia kwa kiasi kikubwa kufukuzwa kwake Liverpool.
Arsenal wameanza harakati za kuimarisha kikosi chao kwa msimu ujao kwa kutuma maombi ya kumuulizia winga wa Porto, William Gomes, huku Leandro Trossard akihusishwa kuondoka.
Manchester City wanaripotiwa kufanya mazungumzo ya siri ya kutumia kipengele cha kumnunua tena Morgan Rogers kutoka Aston Villa, hatua inayotishia mipango ya Arsenal na Man United.
Andoni Iraola aanza kazi rasmi Liverpool kwa kupangua mipango ya usajili, akizuia dili la Alisson Becker kwenda Juventus huku kukiwa na mabadiliko makubwa ya kikosi.
Mchuano wa urais wa Real Madrid washika moto baada ya Florentino Perez kutangaza ofa ya euro milioni 150 kwa ajili ya usajili wa 'Galactico' wa siri na kurejea kwa Jose Mourinho.
Arsenal imepata habari njema baada ya Paris Saint-Germain kujiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kumsajili kinda wa Bournemouth, Junior Kroupi mwenye thamani ya pauni milioni 100.
Manchester United wanaripotiwa kujiandaa kufanya uamuzi wa kipekee katika dirisha la usajili la kiangazi kwa kumsajili mshambuliaji wa Brentford, Igor Thiago, ili kuchukua nafasi ya Joshua Zirkzee.
Baada ya ofa yao ya kwanza ya pauni milioni 40 kukataliwa, Tottenham Hotspur wanajiandaa kutuma ofa nyingine hivi karibuni kumnasa Jan Paul van Hecke kutoka Brighton.
Mkongwe wa Liverpool, Jamie Carragher, ametoa onyo kali kufuatia uteuzi wa Andoni Iraola akidai kocha huyo anakidhi kigezo kimoja tu kati ya vitatu vinavyohitajika kuinoa timu hiyo kubwa.
Liverpool ipo katika hatua nzuri ya kukamilisha usajili wa wachezaji wawili wa kwanza chini ya kocha mpya Andoni Iraola, huku dili za Diomande na Farkas zikinukia.
Andoni Iraola amethibitishwa rasmi kuwa kocha mkuu mpya wa Liverpool akichukua nafasi ya Arne Slot. Soma hapa kauli yake ya kwanza na hisia za Jamie Carragher.
Liverpool ipo hatua ya mbele zaidi kumshinda PSG katika mbio za kumsajili winga wa RB Leipzig, Yan Diomande, huku Andoni Iraola akitarajiwa kuwa kocha mpya.
Mabingwa wa zamani wa Italia, Juventus, wapo tayari kumtoa mshambuliaji wao Jonathan David kwenda Tottenham, lakini wameweka sharti la kuwataka Guglielmo Vicario na Destiny Udogie.
Mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza, Arsenal, wanaripotiwa kuvutiwa na kiungo wa Newcastle, Sandro Tonali, huku Manchester City nao wakimtazama kama mbadala sahihi wa Elliot Anderson.
Mshambuliaji wa Tottenham, Mathys Tel anahusishwa na kuhamia Porto kwa mkopo, huku Spurs wakitenga dau nono la pauni milioni 40 kumnasa beki wa Brighton, Jan Paul van Hecke.
Morgan Rogers wa Aston Villa ameripotiwa kuichagua Arsenal kama timu anayotaka kujiunga nayo msimu huu, licha ya kuonywa na mshambuliaji wa zamani Emile Heskey.
Baada ya kuondoka kwa ghafla kwa Marco Silva ndani ya Fulham, mzunguko wa makocha umeanza upya. Fahamu makocha 10 wanaopewa nafasi kubwa ya kurithi mikoba yake.
Mwenyekiti wa Manchester City, Khaldoon Al Mubarak, amefichua kuwa kocha Pep Guardiola alitishia kujiuzulu mara 100 katika kipindi chake cha miaka 10 kabla ya kuondoka klabuni hapo.
Newcastle United inaongoza mbio za kumsajili Ethan Nwaneri kutoka Arsenal kwa pauni milioni 30 huku Mikel Arteta akitaka kuongeza wachezaji wa kiwango cha juu zaidi.
Arsenal imeripotiwa kupewa fursa ya kumsajili winga wa AC Milan, Rafael Leao, huku Manchester United nao wakiwa kwenye mbio za kumwania mreno huyo.
Wanasheria wa Chelsea wamegoma kuruhusu dili la Enzo Maresca kwenda Man City wakidai fidia kubwa kwa madai ya kuvuruga msimu wao kupitia mazungumzo ya siri.
Arsenal wanakaribia kuipiga mwereka Manchester United katika vita ya kumsajili winga mwenye kipaji cha kipekee cha kizazi hiki, Jeremy Monga kutoka Leicester City.
Chelsea inaongoza mbio za kumsajili mshambuliaji wa Juventus, Dusan Vlahovic, ambaye anatarajiwa kuwa mchezaji huru msimu huu baada ya kugomea mkataba mpya.
Ripoti mpya kutoka Marekani zinafichua kuwa baadhi ya wanafamilia ya Glazer wanafanya mazungumzo ya ndani kuhusu uwezekano wa kuuza hisa zao zilizobaki ndani ya klabu ya Manchester United.
Meneja mpya wa Chelsea, Xabi Alonso, amefanya maamuzi mazito kuhusu mustakabali wa Alejandro Garnacho huku klabu hiyo ikipanga kuuza wachezaji wanne msimu huu wa kiangazi.
Real Madrid wameanza mazungumzo na wawakilishi wa beki wa Arsenal, Riccardo Calafiori, kufuatia ombi la kocha mpya Jose Mourinho anayetaka kuimarisha ulinzi.
Mshambuliaji wa RB Leipzig, Yan Diomande amepiga dongo matumaini ya Liverpool baada ya kuweka wazi mapenzi yake makubwa kwa miamba ya soka ya Ufaransa, PSG.
Mchuano wa urais Real Madrid kati ya Florentino Perez na Enrique Riquelme umegeuka kuwa sinema ya kusisimua huku ahadi za akina Haaland na Mourinho zikitawala.
Andoni Iraola anatarajiwa kutangazwa kuwa kocha mpya wa Liverpool baada ya kufukuzwa kwa Arne Slot. Ujio wake utaleta mabadiliko kidogo kwenye mipango ya usajili wa wachezaji watano wapya msimu huu.
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limepiga marufuku chupa za maji zinazoweza kutumika tena kwenye viwanja vya Kombe la Dunia 2026, uamuzi unaozua hofu ya joto na gharama kwa mashabiki.
Mshambuliaji wa Liverpool, Cody Gakpo, ameripotiwa kuwasilisha ombi rasmi la kutaka kuondoka klabuni hapo kufuatia kutimuliwa kwa kocha Arne Slot, huku Atletico Madrid wakimnyatia.
Manchester United imeamua kusitisha kwa muda mazungumzo ya mkataba mpya na nahodha wao Bruno Fernandes, huku Sir Jim Ratcliffe akitaka kwanza kukamilisha usajili wa wachezaji wapya.
Kuelekea uchaguzi mkuu wa Real Madrid, mgombea Enrique Riquelme ametoa ahadi nzito ya kuwasajili Erling Haaland na Rodri, huku Florentino Perez akijibu mapigo kwa kumrudisha Jose Mourinho.
Mtaalamu wa usajili Fabrizio Romano amezitolea uvivu tetesi zinazomhusisha kiungo wa Liverpool, Florian Wirtz, na mpango wa kujiunga na Chelsea msimu huu wa joto.
Kocha wa timu ya taifa ya Uingereza, Thomas Tuchel, ameweka wazi kuwa joto kali na unyevunyevu vitakuwa vizuizi vikubwa, lakini ana imani thabiti na kikosi chake.
Siri ya kikosi cha kwanza cha Uingereza kwenye Kombe la Dunia yafichuka kupitia namba za jezi zilizotangazwa, huku Marcus Rashford akimfunika Anthony Gordon kwenye jezi namba 11.
Arsenal wanaripotiwa kutuma ofa ya €60m kwa kiungo chipukizi wa Lille Ayyoub Bouaddi, lakini klabu hiyo ya Ufaransa imeikataa na kuweka bei mpya ya angalau €70m huku mshambuliaji huyo wa Morocco akiendelea kuvutia kabla ya Kombe la Dunia.
Newcastle wamesema hakuna ‘hali’ yoyote ya Lewis Hall kutaka kuondoka, huku tetesi zikionyesha Manchester United wanafikiria kufanya mazungumzo kwa beki huyo wa kushoto anayewavutia pia Bayern Munich.
Manchester City wameanza mazungumzo ya kumnasa Elliot Anderson kwa kutoa ofa yao ya kwanza, lakini Nottingham Forest wameikataa. Huenda Wabingwa hao wakarejea na dau jipya kubwa zaidi huku safari ya kiungo huyo wa England ikiendelea kuvuta hisia.
Manchester United wameelezwa kiasi ambacho watalazimika kulipa kwa beki wa Juventus Pierre Kalulu baada ya klabu hiyo kumtaja kuwa mchezaji muhimu sana na kupanga kumpa mkataba mpya.
Beki wa Liverpool, Ibrahima Konate, amezungumzia kwa uwazi changamoto za afya ya akili alizopitia baada ya vifo vya Diogo Jota na baba yake, akisema alimwona akipoteza kabisa hamu ya kufanya chochote.
Chelsea imeweka bei ya Marc Cucurella wakati Manchester City, Barcelona na Atletico Madrid zikiendelea kumwinda beki huyo wa kushoto ambaye anaonekana kutaka kuangalia mipango mipya Stamford Bridge.
Ripoti mbili kutoka Hispania zimedai Jose Mourinho ameiagiza Real Madrid kumtazama Riccardo Calafiori wa Arsenal ili kukamilisha maboresho yake ya safu ya ulinzi, baada ya usajili wa Ibrahima Konate na Denzel Dumfries.
Ripoti zinasema Barcelona wameijulisha Manchester United kuwa wako tayari kulipa pauni milioni 26 kwa Marcus Rashford, lakini tu kwa masharti mawili maalum, huku INEOS wakiripotiwa kusimama kidete kwenye dau la moja kwa moja.
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Paul Merson, amesema kikosi cha Mikel Arteta kinaweza kutawala zaidi msimu ujao ikiwa kitawachukua Julián Álvarez wa Atlético Madrid na Désiré Doué wa PSG.
Manchester United bado wanaendelea na mpango wa kumsajili Ederson kutoka Atalanta, lakini mchakato huo umecheleweshwa na masuala ya kiutendaji kabla ya kukamilika mapema Julai.
Joe Cole amesema anashangazwa na kumpata Xabi Alonso Chelsea, akieleza kwa nini klabu hiyo inahitaji meneja mwenye mamlaka na kupendekeza usajili wa bure wa John Stones na Robert Lewandowski.
Orodha mpya ya makocha wanaolipwa zaidi Premier League imezua gumzo, huku Mikel Arteta akiongoza mbele ya Xabi Alonso, Roberto De Zerbi na Unai Emery.
Liverpool wamefanikiwa kumbakisha na kumsajili rasmi kinda mwenye kipaji kikubwa Josh Abe, baada ya kuwazidi ujanja Manchester United, Manchester City, Chelsea na Real Madrid katika vita ya saini yake.
Chelsea na Newcastle United wanaripotiwa kuwa kwenye mazungumzo juu ya dili la kubadilishana washambuliaji Liam Delap na Nick Woltemade, huku thamani ya wachezaji hao ikionekana kuwa kikwazo kikubwa.
Manchester United wanaripotiwa kusukuma kwa nguvu kumsaini winga wa kushoto wa Hoffenheim, Bazoumana Toure, huku dirisha la usajili wa majira ya kiangazi likikaribia kufunguliwa. Tetesi zinaonyesha dili hilo linaweza kuwa la rekodi kwa klabu hiyo ya Ujerumani.
Hansi Flick ameripotiwa kumuomba Marcus Rashford akubali ofa ya Arsenal huku mustakabali wake Barcelona ukiendelea kutatanisha, wakati Paul Scholes akisema hatua hiyo itakuwa nzuri kwa pande zote.
Manchester United wanaelekea kuongeza nguvu zaidi kiungo baada ya taarifa za kukubaliana na Ederson wa Atalanta, huku BBC ikisema dili la Mateus Fernandes linaweza kukamilika haraka licha ya msimamo wa West Ham kutaka pauni milioni 80.
Arsenal inaendelea kumfuatilia Morgan Rogers wa Aston Villa, lakini ripoti zinaeleza kuwa Manchester City inaweza kujaribu kuzuia dili hilo huku kiungo huyo mshambuliaji akitajwa kuwa yupo wazi kwa hatua mpya kiangazi hiki.
Tottenham wanaendelea kupanga dirisha lao la usajili baada ya kunusurika kushuka daraja. Ripoti zinaeleza kuwa Spurs wanamfuatilia Anan Khalaili na Sergi Dominguez, wakati mazungumzo ya Savinho yakiendelea.
Manchester United wanatajwa kuharakisha dili la Mateus Fernandes wa West Ham baada ya kufikia makubaliano ya kumsajili Ederson kutoka Atalanta. Pia, ripoti zinasema Lewis Hall yuko wazi kujiunga na Old Trafford.
Ibrahima Konate anatajwa kukubaliana kwa mazungumzo na Real Madrid baada ya kushindwa kuongeza mkataba Liverpool. Ripoti pia zinasema alikuwa wazi kusikiliza ofa za Manchester United, Chelsea na Bayern.
Ripoti zinaeleza kuwa ndani ya Liverpool kulikuwa na kutokubaliana kati ya Richard Hughes na viongozi wa FSG kuhusu kumchukua Andoni Iraola, huku madai ya Xabi Alonso yakipewa ufafanuzi.